"Jambo" lyrics - ZIGGY MARLEY

ZIGGY MARLEY
"Jambo"
feat. Angelique Kidjo

[Intro: Ziggy Marley]
Hey, this is a song from Kenya
In the language of Swahili from Africa
Hello mister, hello sister
No problem, no worries
Oh, yeah!

[Chorus 1: Ziggy Marley]
Jambo, jambo bwana
Habari gani? Mzuri sana
Wageni, mwakaribishwa
Nyumba yetu, hakuna matata

[Chorus 1: Angelique Kidjo]
Jambo, jambo bwana
Habari gani? Mzuri sana
Wageni, mwakaribishwa
Nyumba yetu, hakuna matata

[Verse 1: Ziggy Marley & Angelique Kidjo]
Tujenge pamoja, hakuna matata
Amani kwa dunia, hakuna matata
Uhuru na undugu, hakuna matata
Afya na shupavu, hakuna matata
Harambe sawa sawa, hakuna matata

[Chorus 2: Ziggy Marley]
Jambo, jambo dada
Habari gani? Mzuri sana
Wageni, mwakaribishwa
Nyumba yetu, hakuna matata

[Chorus 2: Angelique Kidjo]
Jambo, jambo dada
Habari gani? Mzuri sana
Wageni, mwakaribishwa
Nyumba yetu, hakuna matata

[Verse 2: Ziggy Marley & Angelique Kidjo]
Vile nakupenda, hakuna matata
Kila siku ubarikiwe, hakuna matata
Sasa watu wetu wote, hakuna matata
Furaha na baraha, hakuna matata
Hakuna matata, hakuna matata

[Chorus 1 & 2: Ziggy Marley & Angelique Kidjo]
Jambo, jambo bwana
Habari gani? Mzuri sana
Wageni, mwakaribishwa
Nyumba yetu, hakuna matata
Jambo, jambo dada
Habari gani? Mzuri sana
Wageni, mwakaribishwa
Nyumba yetu, hakuna matata

[Verses 1 & 2: Ziggy Marley & Angelique Kidjo]
Tujenge pamoja, hakuna matata
Amani kwa dunia, hakuna matata
Uhuru na undugu, hakuna matata
Afya na shupavu, hakuna matata
Harambe sawa sawa, hakuna matata
Vile nakupenda, hakuna matata
Kila siku ubarikiwe, hakuna matata
Sasa watu wetu wote, hakuna matata
Furaha na baraha, hakuna matata
Hakuna matata, hakuna matata

[Verses 1 & 2: Angelique Kidjo & Both]
Tujenge pamoja, hakuna matata
Amani kwa dunia, hakuna matata
Uhuru na undugu, hakuna matata
Afya na shupavu, hakuna matata
Harambe sawa sawa, hakuna matata
Vile nakupenda, hakuna matata
Kila siku ubarikiwe, hakuna matata
Sasa watu wetu wote, hakuna matata
Furaha na baraha, hakuna matata
Hakuna matata, hakuna matata